Miaka 100 ya Kiza, Utovu wa Heshima na Kukata Tamaa kwa Mwanamke wa Kiislamu kwa Kukosekana kwa Ngao na Mlinzi wake – Khilafah
- Imepeperushwa katika Kitengo cha Wanawake Afisi Kuu ya Habari
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Huu hapa tena umerudi mwezi wa Rajab al-Khair kwetu kutukumbusha kuwa msiba wa kuvunjwa kwa Khilafah ungali unaendelea haujamalizika bado.
Kwa hoja ya ukarabati wa Reli ya Nairobi hadi Kisumu, Shirika la Reli la Kenya lilibomoa msikiti wa Jami’a na majumba ya wakaazi wa eneo la Kibos kwenye Jimbo la Kisumu hali iliowaacha familia nyingi bila makao.
Wanaharakati walisambaza kwenye mitandao ya kijamii video ya kikundi kimoja cha Mashababu wa Hizb ut-Tahrir / Wilayah ya Sudan mjini Gadharif.
Kitengo cha Upelelezi cha mtandao wa Al Jazeera kimedai kufichua ufisadi mkubwa wa kisiasa wa serikali ya Hasina kupitia msururu wa rekodi za siri ("Wanaume wote wa Waziri Mkuu", aljazeera.com, 1 Februari 2021).
Siku ya Mshikamano na Kashmir ya mwaka huu, 5 Februari, inaangukia katika hali mbaya ya mambo, ambapo ni lazima tutimize wajibu wetu kwa Mwenyezi Mungu (swt).
Mfumko wa bei: Tatizo Sugu ndani ya Mfumo Muovu wa Kiuchumi wa Kibepari
Tangu serikali mpya ya Umoja wa Kitaifa ya Zanzibar chini ya Raisi Hussein Mwinyi kuingia madarakani imeonekana kana kwamba ina dhamira ya kweli kurejesha uwajibikaji, kukabiliana na ufisadi, rushwa na vitendo vya ubadhirifu wa mali za Umma vilivyotendwa na baadhi ya maafisa wa serikali iliyotangulia.
Waziri wa Ujasusi katika umbile la Kiyahudi, Eli Cohen, alikutana na Mwenyekiti wa Baraza la Enzi kuu Abdel Fattah Al-Burhan, Waziri wa Ulinzi Yassin Ibrahim, na Waziri Mkuu Abdullah Hamdok, na ilikubaliwa,
Ulinzi wa Raia wa Syria ulisema kwamba idadi ya kambi za wasio na makao ambazo zimeharibiwa na mvua na theluji katika Gatuzi la Idlib (kaskazini magharibi mwa Syria) zimeongezeka hadi kambi 225, ikiashiria kwamba idadi ya familia ambazo sasa hazina makao imefikia familia 3,200.