Hizb ut Tahrir / Wilayah Afghanistan Yawapa Hongera Watu wa Afghanistan na Ummah Wote wa Kiislamu kwa Kutamatisha Uvamizi wa Amerika na NATO!
- Imepeperushwa katika Afghanistan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Hatimaye, baada ya miaka 20 ya uvamizi wa Afghanistan na Waamerika na washirika wao, vikosi hivyo vya uvamizi baada ya kushindwa kwa udhalilifu, viliondoka Afghanistan kwa huzuni saa sita usiku mnamo 30 Agosti 2021.