Qatar ni nchi ya Kisekula na Kamwe Haitapiga Marufuku Unywaji Pombe katika Kombe lake la Dunia
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) lilitangaza kuwa vinywaji vyenye vileo havitauzwa katika viwanja vinane vitakavyoandaa mechi za Kombe la Dunia la 2022 nchini Qatar.
Vinywaji vya vileo vilipaswa kuandaliwa “katika maeneo yaliyotengwa ndani ya viwanja vya michezo,” ingawa uuzaji wao unadhibitiwa vikali katika dola hiyo ya Ghuba ya Kiislamu.