Ukombozi wa Wanawake Afrika: Uhuni wa Kikoloni kuhujumu Utulivu wa Jamii
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Mnamo Jumanne 16 Oktoba 2018, Waziri Mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed alitaja baraza la mawaziri 20 huku wanawake wakichukua nusu ya vyeo sawa na wenzao wanaume.



