Kuhalalisha Mahusiano na Umbile la Kiyahudi ni Wenyewe ni Usaliti Ewe Çavuşoğlu!
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Akizungumza katika kikao cha Mazungumzo Maalum cha Jukwaa la 8 la Mazungumzo ya Mediterania, Waziri wa Mambo ya Nje Mevlüt Çavuşoğlu alisema, “Itakuwa ni makosa kufikiria kuwa kuhalalisha mahusiano na Israel ni usaliti kwa kadhia ya Palestina.”



