Hukmu Kuhusiana na Uigizaji na Kutazama Filamu Zinazo Igiza Mitume na Maswahaba
- Imepeperushwa katika Maswali ya Kifiqh
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Ni ipi Hukmu kuhusiana na kutazama filamu na vipindi vinavyo igiza mitume na maswahaba?
Ni ipi Hukmu kuhusiana na kutazama filamu na vipindi vinavyo igiza mitume na maswahaba?
Mwenyezi Mungu akubariki na atunufaishe kwa elimu yako. Kwa upole sheikh wetu nina maswali mawili: La kwanza: Ni ipi dalili ambayo katika waqf, inatakikana kwa mtu anayeweka Waqf awe ndiye mmiliki wa kitu chenyewe kinacho wekwa waqf?
Lakini kwa kukosekana Khilafah, biladi zote za Waislamu zinatawaliwa na viongozi Matwaghut? Kwa hivyo, ikiwa tunahitaji kutatua mzozo wowote, twaweza kwenda katika mahakama za viongozi hao Matwaghut? Lau, mmoja katika wanafamilia yangu atabakwa, je, inajuzu kwenda kutafuta hukmu mahakamani ambako hukmu itafanywa kupitia Taghut ya kidemokrasia? Hawahukumu kwa shariah
Twajua kuwa harakati maarufu nchini Iraq, Lebanon na Iran zilianza kwa ghafla kama ilivyo dhihirika mnamo 5/11/2019; je, zingali hivyo? Je, kuna dori zozote za Ulaya katika nchi hizi tatu ambako Marekani ina ushawishi?
Katika kitabu cha Utambulisho wa Kiislamu Juzuu ya 3, imetajwa kuwa majazi hayawezi kuwa katika herufi, na pia imetajwa kuwa aina mojawapo ya utekelezwaji wa majazi ni ziada, na kutoa mfano, ambao ni aya hii
Katika kitabu At-Tafkeer Al-Islami, ambacho ni mojawapo ya vitabu vilivyo tabanniwa, kinataja kuwa dua hairudishi qadar na haibadilishi qadhaa au elimu ya Mwenyezi Mungu (swt).
Tafadhali waweza kunifafanulia mimi Hadith hii, kwa sababu nimechanganyikiwa, ambapo sikupambanukiwa baada ya kuregelea kauli za wanazuoni:
Katika nchi ambayo watu wake wameubeba Uislamu, nchi ya mashahidi milioni moja kwa kupigana jihad dhidi ya uvamizi wa Ufaransa uliokuwepo kwa miaka 132, ndani ya nchi maandamano yaliyoungwa mkono na wengi yalianza, yakivunja vizuizi vya hofu kwa madhalimu wa Algeria tangu 22/2/2019 mpaka wa leo, lakini hawalinganii Uislamu!
Katika kitabu Shakhsiya ya Kiislamu Juzuu 3 juu ya mada (Chochote kinacho pelekea Wajib hicho nacho ni Wajib) katika ukurasa wa 44 (nakala ya Kiarabu) kinaeleza kuwa: "na ima iwe sababu ni ya kisheria kama jinsi ya kuacha huru (watumwa) kwa lazima" kana kwamba anakusudia aya ya dhwihar, katika maneno ya Mwenyezi Mungu:
Imebainika kuwa maafisa wa Ulaya wamemiminika ndani ya Sudan na kutangaza kuinusuru serikali ya Hamdouk. Mnamo 16/9/2019, Waziri wa Kigeni wa Ufaransa aliwasili Khartoum na kukutana na Waziri Mkuu wa Sudan, Abdallah Hamdouk na kutangaza msaada wa Uro milioni 60 kwa Sudan na kwamba itafanyakazi kuiondosha Sudan katika orodha ya Ugaidi.