Mfuko wa Fedha wa Kiarabu na Uharibifu wake wa Uchumi wa Yemen kwa Mikopo ya Riba
- Imepeperushwa katika Yemen
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Mnamo Jumapili, Novemba 27, 2022, serikali ya Maeen Abdul Malik ilitia saini makubaliano na Mfuko wa Fedha wa Kiarabu (AMF) kusaidia mpango wa mageuzi ya kiuchumi, kifedha na kisarafu kwa kiasi cha dolari bilioni moja, kulingana na Shirika la Habari la Yemen.



