Jumamosi, 11 Jumada al-awwal 1447 | 2025/11/01
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Afisi ya Habari
Wilayah Sudan

H.  6 Jumada I 1447 Na: HTS 1447 / 46
M.  Jumanne, 28 Oktoba 2025

Mwaliko wa Kuhudhuria na Kushiriki katika Kikao cha Masuala ya Ummah
(Imetafsiriwa)

Sisi, katika Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan, tuna furaha kuwaalika ndugu zetu wanahabari, wanasiasa, na wale wenye hamu na masuala ya umma kuhudhuria na kushiriki katika kikao cha kila mwezi cha masuala ya Umma, ambacho mwezi huu kitakuwa kwa kichwa:

El Fasher: Kituo Kilicho na Vurugu Zaidi katika Mzozo wa Kimataifa wa Sudan

Wazungumzaji katika kikao:

1- Ustadh Muhammad Jami’ (Abu Ayman) – Msaidizi wa Msemaji Rasmi wa Hizb ut Tahrir katika Wilayah ya Sudan

2- Ustadh Ibrahim Mushrif – Mwanachama wa Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir katika Wilayah ya Sudan

3- Afisa wa Kikao: Ust. Dawood Abdullah – Mwanachama wa Hizb ut Tahrir

Wakati: 10 Jumada al-Awwal 1447 H, sawia na 01 Novemba 2025 M saa 13:00 Mchana

Mahali: Afisi ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan, Port Sudan – Wilaya ya Al-Azma – Mashariki mwa Uga wa Port Sudan

Uwepo wenu ni heshima kwetu, unaakisi kujali kwenu masuala ya Umma wenu.

Ibrahim Othman (Abu Khalil)
Msemaji Rasmi wa Hizb ut Tahrir
katika Wilayah Sudan

Hizb-ut Tahrir: Afisi ya Habari
Wilayah Sudan
Address & Website
Tel: 0912240143- 0912377707
http://www.hizb-sudan.org/
E-Mail: Spokman_sd@dbzmail.com

Andika maoni

Hakikisha umejaza (*) habari zinazohitajika palipoashiriwa. Kodi za HTML haziruhusiwi.

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu