Jumanne, 01 Rabi' al-thani 1447 | 2025/09/23
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Risala Kutoka kwa Mwanachuoni Mkubwa Ata Bin Khalil Abu Al-Rashtah Katika Siku Kuu ya Idd ul-Adha Yenye Baraka ya Mwaka 1439 H Ikiafikiana na Mwaka 2018 M

HotubKwa wabebaji ulinganizi, Mashabaab na Mashabaat wa Hizb ut Tahrir, wabebaji ulinganizi wasafi na wachaMungu, ingawa hatumtakasi yeyote mbele ya Mwenyezi Mungu, wale wanaozungumza maneno ya kheri na kutenda vitendo vyema, na kisha kama natija yake Mwenyezi Mungu akawasifu wale wenye sifa hizi:

Soma zaidi...

Uamuzi wa Kuwasamehe Watu Wote Nakith (aliye vunja kiapo), Tarik (aliye ondoka chamani), Mu’akab (aliye adhibiwa)

UamuNimepokea risala nyingi kutoka kwa baadhi ya ndugu zetu wakiniomba kuzingatia upya (uamuzi) juu ya watu wote walio vunja kiapo (Nakith), walio ondoka chamani, au wanao adhibiwa tangu kuasisiwa kwa chama hiki mnamo 1372 H – 1953 M na kuwasamehe watu wanao stahiki kusamehewa; kwa kuwapa fursa mpya ya kubeba ulinganizi huu, huenda wale watakao pewa fursa hiyo wakaitumia vizuri ili wakakutane na Mwenyezi Mungu hali ya kuwa ni wasafi na wenye ikhlasi, na yeyote atakaye samehe …

Soma zaidi...

Ujumbe wa Ameer wa Hizb ut Tahrir, mwanachuoni mkubwa Ata Bin Khalil Abu al-Rashtah kwa wenye kuzuru machapisho yake kwa tukio la kufikiwa na Eid al-Fitr iliobarikiwa Mwaka wa 1438 Hijria/2017 Miladi

Kwa wabebaji da’awa wasafi na wachamungu, na hatusifu mtu yeyote kwa Mwenyezi Mungu, wale ambao husema maneno bora na kufanya kazi njema, ambapo Mwenyezi Mungu huwasifu wale ambao wana sifa hizo:

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu