Afisi ya Habari
Wilayah Jordan
H. 20 Rabi' I 1447 | Na: 1447 / 07 |
M. Ijumaa, 12 Septemba 2025 |
Taarifa kwa Vyombo vya Habari
Enyi Watu wa Jordan na Wanajeshi Wake: Jihadharini na Kundi la Kitengo cha Gilead, Vitisho vya Umbile la Kiyahudi kwa Nchi yenu, na Ushiriki na Utiifu wa Serikali!
(Imetafsiriwa)
Jana, 10 Septemba 2025, kamanda wa Kamandi Kuu ya jeshi la umbile la Kiyahudi alitangaza kuundwa kwa kitengo kipya cha kijeshi, kinachoitwa “Kitengo cha Gilead,” katika Bonde la Jordan, kitakacho kaa kwenye Bonde la Jordan. Kitengo hichi cha kikanda kina jukumu la kulinda mipaka ya mashariki ya Mayahudi katika Bonde la Jordan na Bahari ya Dead. Aliashiria kuwa kuanzishwa kwa kitengo hicho kunajiri ndani ya muundo wa kile alichoelezea kama “masomo ya kujifunza kutokana na kushindwa kugumu kwa Israel mnamo Oktoba 7, 2023.” Uundaji huu mpya unakuja baada ya vitisho vya viongozi wa umbile la Kiyahudi kupanuka hadi nchini Jordan na kwengineko chini ya mwavuli wa mradi wa “Israel Kubwa”, uliotangazwa na Netanyahu, uliobarikiwa na Trump, na kutangazwa wazi na Smotrich, Waziri wa Fedha wa umbile la Kiyahudi.
Licha ya vitisho hivyo vya moja kwa moja na vya wazi na kupelekwa kwa vikosi vya umbile la Kiyahudi kwenye mipaka ya Jordan, ambavyo vinaunda tangazo la vita kwa mantiki ya ubwana na maagano, utawala wa Jordan, serikali yake, vyombo vya habari vyake na bunge lake wanaamua kunyamaza kimya cha maiti. Wale waliozungumza wamezungumza kwa kufuru na kula njama. Wanaume wa utawala huo wanaendelea kutoa kauli za aibu, wakitoa uhalali ambao Wajordan hawauamini tena. Haya ni pamoja na suluhisho la dola mbili, kukataa kuwaruhusu watu wenye msimamo mkali kufanya shughuli zao, na kujitolea kwao kwa usalama na ustawi wa umbile la Kiyahudi, ambalo kwa kiburi linatishia usalama wa kanda hii. Ni kana kwamba watu wa Jordan, na kwa hakika Ummah wote wa Kiislamu, wana shauku juu ya uwepo wa adui huyu muoga, huku damu yao ikichemka katika mishipa yao ili kumtokomeza kutoka kwenye mizizi yake.
Wale walioghadhibikiwa wamefedheheka na kudhalilika.
[وَضُرِبَتْ عَلَيْهِمُ الذِّلَّةُ وَالْمَسْكَنَةُ وَبَآؤُوْاْ بِغَضَبٍ مِّنَ اللَّهِ] “Wamepigwa na udhalili popote wanapo kutikana, isipo kuwa wakishika kamba ya Mwenyezi Mungu na kamba ya watu. Na wakastahiki ghadhabu ya Mwenyezi Mungu, na wamepigwa na unyonge.” [Aal-i Imran 3:112], wanatambua kwamba hawana uhusiano mwengine na watu isipokuwa Amerika, ambao haujapanuka kama wanavyotamani. Vile vile wana uhusiano wa vibaraka miongoni mwa watawala wa Kiarabu, ambao wameendesha vita bandia ambavyo vimewawezesha Mayahudi kuteka Palestina yote na hata kushambulia miji mikuu ya nchi jirani za Kiislamu huko Lebanon, Syria, Iraq, Yemen, na hatimaye Qatar, kwa kiburi na majivuno kamili. Pamoja na hayo yote, hawaamini tena ulinzi wa watawala hao, ambao wako njiani kuelekea kuangamia na kuhisi hatari inayokuja kutoka kwa watu wa kanda hii, kama ilivyofichuliwa na kauli ya mhalifu Netanyahu mnamo tarehe 21 Aprili 2025, aliposema: “Hatutaruhusu kuanzishwa Khilafah kwenye ufuo wa Mediterania.”
Kwa hivyo, haijalishi ulinzi wa mipaka yao ya mashariki ni mkubwa na wa muda mrefu kiasi gani, haijalishi ni vitengo vingapi vya kijeshi wanavyokusanya, na haijalishi ni vifaa kiasi gani Amerika na Ulaya zinavyowapa, wanakabiliwa na vita ambavyo vitawaangamiza. Aliye Mkweli na Mwaminifu, rehema na amani ziwe juu yake, alitupa bishara njema pale aliposema:
«لا تَقُومُ السَّاعَةُ حتَّى يُقاتِلَ المُسْلِمُونَ اليَهُودَ، فَيَقْتُلُهُمُ المُسْلِمُونَ حتَّى يَخْتَبِئَ اليَهُودِيُّ مِن وراءِ الحَجَرِ والشَّجَرِ، فيَقولُ الحَجَرُ أوِ الشَّجَرُ: يا مُسْلِمُ يا عَبْدَ اللهِ هذا يَهُودِيٌّ خَلْفِي، فَتَعالَ فاقْتُلْهُ»
“Kiyama hakitasimam mpaka Waislamu wapigane na Mayahudi na Waislamu watawaua mpaka Yahudi ajifiche nyuma ya jiwe au mti na jiwe au mti useme: Ewe Muislamu, ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu hapa Yahudi nyuma yangu; basi njoo umuuwe; lakini mti Gharqad hautasema, kwani ni mti wa Mayahudi.” Haya yatatokea hivi karibuni, Mwenyezi Mungu akipenda.
Enyi watu wa Jordan, enyi wanajeshi wa Jordan... Enyi Waislamu:
Sisi ni kiongozi asiyewadanganya watu wake, na wala hatuogopi lawama kwa ajili ya Mwenyezi Mungu. Serikali hii haijali hata kidogo na kukulindeni na kukuteteeni. Serikali sio sehemu yenu, na nyinyi si sehemu yake. Inalinda tu uwepo wake yenyewe na uwezeshaji wa umbile la Kiyahudi na kafiri Magharibi juu ya rasilimali zenu. Inakupotosheni kwa kudai kuwa Jordan ni mshirika wa kimkakati na mshirika wa Amerika. Kwa kweli, inajijali yenyewe katika kauli hii. Amerika ina maslahi yake yenyewe tu moyoni. Kambi yake kubwa zaidi nchini Qatar haijazuia umbile la Kiyahudi kuwashambulia Waislamu katika ardhi yake, bila kujali watawala wake wanajivunia kiasi gani kwamba ni mwandani na mshirika wa kimkakati.
Enyi Wanajeshi Jasiri wa Jordan:
Serikali ya Jordan na wapambe wake wametabanni mstari wa kimkakati, ambao ni kufanya amani na umbile la Kiyahudi, na hata kusimama nalo katika vita vyake dhidi ya Uislamu na Waislamu, kuifukarisha nchi na watu wake, na kupigana vita dhidi ya wale inaowaita wapuuzi. Mnajua kwamba hii ina maanisha watetezi wa Uislamu. Imechukua mkondo wake kwa kujinyenyekesha kwa mkoloni kafiri na kutekeleza maslahi yake.
Wakati umefika sasa wa kuilazimisha kuilinda Jordan na kupigana vita vya kweli na umbile la Kiyahudi, kuisagasaga katika kulinda dini yenu, nchi yenu, na heshima yenu. Vyenginevyo, Mwenyezi Mungu aepushie mbali, hamtaepuka ghadhabu na hasira za watu wenu ikiwa umbile la Kiyahudi litaanzisha shambulizi dhidi ya Jordan, kama lilivyofanya nchini Qatar. Mtakuwa mumekosa fursa ya kujibu leo kuliko kesho. Waislamu wanastahiki zaidi masomo ya kujifunza kuliko umbile la Kiyahudi.
Imepokewa kutoka kwa Al-Bukhari na Muslim kutoka kwa Abu Musa, Mwenyezi Mungu amuwiye radhi, kwa kutoka kwa Mtume (saw) ambaye amesema:
«إِنَّ مَثَلِي وَمَثَلَ مَا بَعَثَنِيَ اللهُ بِهِ كَمَثَلِ رَجُلٍ أَتَى قَوْمَهُ، فَقَالَ: يَا قَوْمِ إِنِّي رَأَيْتُ الْجَيْشَ بِعَيْنَيَّ، وَإِنِّي أَنَا النَّذِيرُ الْعُرْيَانُ، فَالنَّجَاءَ، فَأَطَاعَهُ طَائِفَةٌ مِنْ قَوْمِهِ، فَأَدْلَجُوا فَانْطَلَقُوا عَلَى مُهْلَتِهِمْ، وَكَذَّبَتْ طَائِفَةٌ مِنْهُمْ فَأَصْبَحُوا مَكَانَهُمْ، فَصَبَّحَهُمُ الْجَيْشُ فَأَهْلَكَهُمْ وَاجْتَاحَهُمْ، فَذَلِكَ مَثَلُ مَنْ أَطَاعَنِي وَاتَّبَعَ مَا جِئْتُ بِهِ، وَمَثَلُ مَنْ عَصَانِي وَكَذَّبَ مَا جِئْتُ بِهِ مِنَ الْحَقِّ»
“Mfano wangu na wa yale aliyonituma nayo Mwenyezi Mungu ni kama mfano wa mtu aliyetujia na kusema: Enyi watu! Nimeliona jeshi kwa macho yangu, na mimi ni mwonyaji aliyeuchi wazi (wenye kutoa tahadhari kali) kwamba mtafanikiwa mara moja kupata njia ya kuokoka. Kundi la watu miongoni mwao waliozingatia (kwa tahadhari yake) wakakimbilia kwenye sehemu ya ulinzi na kundi moja miongoni mwao wakamkadhibisha na asubuhi ikiwafikia majumbani mwao na jeshi likawavamia kushambulia na kuwauwa. Na huo ndio mfano wa aliyenitii, akafuata niliyotumwa nayo, na mfano wa aliyeniasi na akanikadhibisha, na Haki niliyotumwa nayo.”
Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir
katika Wilayah Jordan
Hizb-ut Tahrir: Afisi ya Habari Wilayah Jordan |
Address & Website Tel: http://www.hizb-jordan.org/ |
E-Mail: info@hizb-jordan.org |