Ijumaa, 19 Ramadan 1445 | 2024/03/29
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

بسم الله الرحمن الرحيم

Afisi Kuu ya Habari: Amali za Kiulimwengu za Hizb ut Tahrir katika Kumbukumbu ya Miaka Mia Moja ya Kuvunjwa Khilafah 1442 H - 2021 M

Katika mwezi wa Rajab al-Muharram wa mwaka huu 1442 H - 2021 M na kwa mnasaba wa kumbukumbu ya miaka mia moja uchungu ya wahalifu kuiangamiza Dola ya Uislamu iliyo simamishwa na Bwana wa Mitume wote Muhammad (saw), na kusitishwa kwa nidhamu ya utawala ya Kiislamu (Khilafah) ambayo iliangaza pembe za ulimwengu kwa kipindi cha karne 13 mnamo 28 Rajab 1342 H sawia na 3/3/1924 M, na chini ya uongozi wa Amiri wa Hizb ut-Tahrir, mwanachuoni mkubwa, Ataa bin Khalil Abu Al-Rashtah, Mwenyezi Mungu amhifadhi, Hizb ut-Tahrir inaandaa amali pana za umma katika nchi zote ambazo inafanya kazi ndani yake chini ya kauli mbiu:

"Katika Kumbukumbu ya Miaka Mia Moja ya Kuvunjwa Khilafah… Isimamisheni Enyi Waislamu"

Na sisi katika Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut-Tahrir, kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, kupitia ukurasa huu, tutazishughulikia kwa kina amali hizi, tukimwomba Mwenyezi Mungu (swt) atujaaliye kusimama kwa Dola ya Khilafah Rashida ya pili kwa njia ya Utume, na hilo sio zito kwa Mwenyezi, Mwenyezi Mungu (swt) asema:

 ((وَعَدَ اللَّهُ الَّذِينَ آمَنُوا مِنْكُمْ وَعَمِلُوا الصَّالِحَاتِ لَيَسْتَخْلِفَنَّهُمْ فِي الْأَرْضِ كَمَا اسْتَخْلَفَ الَّذِينَ مِنْ قَبْلِهِمْ وَلَيُمَكِّنَنَّ لَهُمْ دِينَهُمُ الَّذِي ارْتَضَىٰ لَهُمْ وَلَيُبَدِّلَنَّهُمْ مِنْ بَعْدِ خَوْفِهِمْ أَمْنًا ۚ يَعْبُدُونَنِي لَا يُشْرِكُونَ بِي شَيْئًا ۚ وَمَنْ كَفَرَ بَعْدَ ذَٰلِكَ فَأُولَٰئِكَ هُمُ الْفَاسِقُونَ)).

"Mwenyezi Mungu amewaahidi wale walio amini miongoni mwenu na wakatenda mema, ya kwamba atawafanya makhalifa katika ardhi kama alivyo wafanya makhalifa wa kabla yao, na kwa yakini atawasimamishia Dini yao aliyo wapendelea, na atawabadilishia amani baada ya khofu yao. Wawe wananiabudu Mimi, wala wasinishirikishe na chochote. Na watao kufuru baada ya hayo, basi hao ndio wapotovu." (An-Nur: 55)

Jumamosi, 01 Rajab 1442 H sawia na 13 Februari 2021 M

 

- Kongamano Hitimishi -

Matangazo ya moja kwa moja ya Kongamano Hitimishi la Kiulimwengu kwa Amali za Kumbukumbu ya Karne Moja ya Kuvunjwa kwa Khilafah

Jumamosi, 13 Machi 2021

Saa 20.00 usiku kwa majira ya Madina Al-Munawwara

- Linki Kuu -

 

- Linki ya Kiarabu na Tarjama ya Hapo kwa Hapo -

- Linki ya Kiingereza na Tarjama ya Hapo kwa Hapo -

Hotuba ya Amiri wa Hizb ut Tahrir Mwanachuoni Mkubwa Atta Bin Khalil Abu Rashta kwa Mnasaba wa Kumbukizi ya Miaka Mia Moja ya Kuangushwa Dola ya Khilafah Mwaka 1342 H /1924 M

ILI KUPAKUA RATIBA YA KONGAMANO BONYEZA HAPA

- Wito wa kufuatilia kongamano hitimishi kwa amali za kampeni ya kiulimwengu "Isimamisheni Enyi Waislamu" -

Na Mwadhama Sheikh Said Ridhwan (Abu Imad)

Mwanachama wa Hizb ut-Tahrir katika Wilayah ya Jordan

Jumamosi, 22 Rajab 1442 H sawia na 06 Machi 2021 M

- Wito wa kufuatilia kongamano hitimishi kwa amali za kampeni ya kiulimwengu "Isimamisheni Enyi Waislamu" -

Mhandisi Usama Thuwayni 

Mwanachama wa Hizb ut-Tahrir katika Wilayah ya Kuwait

Jumapili, 23 Rajab 1442 H sawia na 07 Machi 2021 M

- Wito wa kufuatilia kongamano hitimishi kwa amali za kampeni ya kiulimwengu "Isimamisheni Enyi Waislamu" -

Sheikh Adnan Mezyan

Mwanachama wa Hizb ut-Tahrir katika Wilayah ya Lebanon

Jumatatu, 24 Rajab 1442 H sawia na 08 Machi 2021 M

- Wito wa kufuatilia kongamano hitimishi kwa amali za kampeni ya kiulimwengu "Isimamisheni Enyi Waislamu" -

Dkt. Nazreen Nawaz

Mkurugenzi wa Kitengo cha Wanawake katika Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut-Tahrir

Jumatatu, 24 Rajab 1442 H sawia na 08 Machi 2021 M

- Wito wa kufuatilia kongamano hitimishi kwa amali za kampeni ya kiulimwengu "Isimamisheni Enyi Waislamu" -

Dkt. Jamal Harwoud

Mwanachama wa Hizb ut-Tahrir Uingereza

Jumanne, 25 Rajab 1442 H sawia na 09 Machi 2021 M

- Wito wa kufuatilia kongamano hitimishi kwa amali za kampeni ya kiulimwengu "Isimamisheni Enyi Waislamu" -

Mwadhama Sheikh Yusuf Makharza (Abu Hamam)

Mwanachama wa Hizb ut-Tahrir katika Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina)

Jumanne, 25 Rajab 1442 H sawia na 09 Machi 2021 M

- Wito wa kufuatilia kongamano hitimishi kwa amali za kampeni ya kiulimwengu "Isimamisheni Enyi Waislamu" -

Dkt. Muhammad Akmal

Mwanachama wa Hizb ut-Tahrir katika Wilayah ya Pakistan

Jumatano, 26 Rajab 1442 H sawia na 10 Machi 2021 M

- Wito wa kufuatilia kongamano hitimishi kwa amali za kampeni ya kiulimwengu "Isimamisheni Enyi Waislamu" -

Sheikh Nasir Ridha

Mkuu wa Kamati Kuu ya Mawasiliano ya Hizb ut Tahrir katika Wilayah ya Sudan

Jumatano, 26 Rajab 1442 H sawia na 10 Machi 2021 M

- Wito wa kufuatilia kongamano hitimishi kwa amali za kampeni ya kiulimwengu "Isimamisheni Enyi Waislamu" -

Ustadh Mahmoud Kar

Mkuu wa Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir katika Wilayah ya Uturuki

Alhamisi, 27 Rajab 1442 H sawia na 11 Machi 2021 M

- Wito wa kufuatilia kongamano hitimishi kwa amali za kampeni ya kiulimwengu "Isimamisheni Enyi Waislamu" -

Ustadh Abdulhakeem Othman

Msemaji Rasmi wa Hizb ut Tahrir Malaysia

Alhamisi, 27 Rajab 1442 H sawia na 11 Machi 2021 M

- Ili Kufuatilia Uangaziaji Mpana kwa Lugha Nyenginezo -

 

 

Kalima ya Mhandisi Salah ad-Din Adada (Abu Muhammad)

Mkurugenzi wa Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir

Kwa mnasaba wa Kumbukumbu ya Miaka Mia Moja ya Kuvunjwa Khilafah

 

Kalima ya Dkt. Nazreen Nawaz

Mkurugenzi wa Kitengo cha Wanawake katika Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir

Kwa mnasaba wa Kumbukumbu ya Miaka Mia Moja ya Kuvunjwa Khilafah

 

Kalima ya Video ya Ustadh Eldar Khumzin

Mwanachama wa Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir

Kwa Mnasaba wa Kumbukumbu ya Karne Moja ya Kuvunjwa kwa Khilafah

Alhamisi, 20 Rajab Al-Muharram 1442 H sawia na 04 Machi 2021 M

- Mwaliko wa kufuatilia Amali za Kampeni ya Kiulimwengu "Isimamisheni, Enyi Waislamu" -

Na Mhandisi Salah El-Din Adada (Abu Muhammad)

Mkurugenzi wa Afisi ya Kuu ya Habari ya Hizb ut-Tahrir

Jumatatu, 17 Rajab Muharram 1442 H sawia na 01 Machi 2021 M

Al-Waqiyah TV: Kilio cha Kiulimwengu "Imetosha... Isimamisheni Enyi Waislamu!"

Katika wigo wa kampeni pana ya kiulimwenguni iliyo zinduliwa na Hizb ut-Tahrir, kwa mnasaba wa kumbukumbu ya karne moja Hijria ya kuvunjwa kwa Khilafah, 28 Rajab al-Muharram 1442 H / 2021 M, ilikuwa katika juhudi hizi za pamoja, usajili wa zaidi ya wabebaji ulinganizi 218, katika zaidi ya nchi 22 kote ulimwenguni, wanaozungumza zaidi ya lugha 15, ili kufikisha ujumbe mmoja kwa Umma wa Uislamu:

"Imetosha... Isimamisheni Enyi Waislamu!"

Jumatano, 19 Rajab al-Muharram 1442 H sawia na 03 Machi 2021 M

Soma Taarifa kwa Vyombo vya Habari kutoka Eng. Salah Eddine Adada

Mkurugenzi wa Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir

14 Rajab 1442 H - 26 Februari 2021 M

- Video ya Kuhitimisha Silsila ya Miji 100 Inatamka Neno Lake -

Jumamosi, 29 Rajab Muharram 1442 H - 13 Machi 2021 M

Afisi Kuu ya Habari: Kampeni ya Kitengo cha Wanawake katika Kumbukumbu ya Karne Moja ya Kuvunjwa Khilafah

- Wito wa Kiulimwengu: Kutoka kwa Vijana wa Kiislamu wa Kulingania Khilafah! -

Ijumaa, 28 Rajab 1442 H sawia na 12 Machi 2021 M

Al-Waqiyah TV: Kilio cha Kiulimwengu "Imetosha... Isimamisheni Enyi Waislamu!"

Katika wigo wa kampeni pana ya kiulimwenguni iliyo zinduliwa na Hizb ut-Tahrir, kwa mnasaba wa kumbukumbu ya karne moja Hijria ya kuvunjwa kwa Khilafah, 28 Rajab al-Muharram 1442 H / 2021 M, ilikuwa katika juhudi hizi za pamoja, usajili wa zaidi ya wabebaji ulinganizi 218, katika zaidi ya nchi 22 kote ulimwenguni, wanaozungumza zaidi ya lugha 15, ili kufikisha ujumbe mmoja kwa Umma wa Uislamu:

"Imetosha... Isimamisheni Enyi Waislamu!"

Jumatano, 19 Rajab al-Muharram 1442 H sawia na 03 Machi 2021 M

- Alama Ishara za Amali na Uangaziaji Mpana -

#أقيموا_الخلافة
#ReturnTheKhilafah
#YenidenHilafet
#خلافت_کو_قائم_کرو
#TurudisheniKhilafah

 

- Silsila za Video -

Al-Waqiyah TV: Silsila "Mapigo ya Umma katika Kumbukumbu ya Karne Moja ya Kuvunjwa kwa Khilafah!"

Al-Waqiyah TV: Podcast "Kumbukumbu ya Kuvunjwa kwa Khilafah: Uchungu na Matumaini!"

 

Al-Waqiyah TV: Silsila "Katika Kumbukumbu ya Karne Moja ya Kuvunjwa kwa Khilafah: Je, Imewafikieni Habari?"

Al-Waqiyah TV: Silsila "Katika Kumbukumbu ya Karne Moja ya Kuvunjwa kwa Khilafah: Miji 100 Inatamka Neno Lake!"

Al-Waqiyah TV: Silsila "Kalima katika Kumbukumbu ya Karne Moja ya Kuvunjwa kwa Khilafah!"

تلفزيون الواقية: سلسلة "كلمات في الذكرى المئوية لهدم الخلافة!"

 

 

- Vibandiko vya Kampeni -

 

 

- Kongamano la Mwisho la Kiulimwengu la Amali za Kampeni -

Mwenyezi Mungu akipenda, Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut-Tahrir itatangaza kongamano la mwisho la kiulimwengu la kampeni "Katika Kumbukumbu ya Miaka Mia Moja ya Kuvunjwa Khilafah ... Isimamisheni, Enyi Waislamu" kupitia Televisheni ya Al-Waqiyah Jumamosi, 29 Rajab 1442 H, sawia na 13 Machi 2021 M. Basi kueni pamoja nasi mushiriki nasi katika thawabu,  Mwenyezi Mungu (swt) yuko katika msaada wa mja maadamu mja yuko katika msaada wa nduguye.

 

- Amali za Maeneo Mengine Ndani ya Kampeni Hii ya Kiulimwengu -

Ujasusi wa Erdogan Wawakamata Kina Dada Wanne kwa Kutaka Kwao Kusimamishwa Khilafah kutoka Ngome ya Amuriyah!

Kutokana na athari ya video, ambayo ilienezwa kwenye mitandao, kina dada wanne, na pamoja nao mwanamke wa miaka 16 kutoka juu ya ngome ya Amuriyah nchini Uturuki, ambapo walinyanyua bendera ya Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw), na kuutaka Umma wa Kiislamu kwa maneno mafupi kuhamasika kusimamisha tena Khilafah, vibaraka wa Erdogan na ujasusi wake walizingira nyumba za Dada hao mnamo Jumanne asubuhi, 02/23/2021, na kuwakamata dada hao wanne, msichana mmoja mwenye umri wa miaka 16 na mtoto mchanga, na bado wangali mikononi mwa madhalimu hao... Na sisi pia tunapaza sauti yetu juu, "Sote tunataka kusimamishwa tena kwa Khilafah Rashida."

 
 
 

 - Taarifa za Vyombo vya Habari -

Tanzania

Hizb ut Tahrir Tanzania Yazindua Kampeni ya Miaka 100 ya Kuangushwa Khilafah

02 Rajab 1442 H - 14 Februari 2021 M

Uingereza

Miaka Mia Moja Bila ya Khilafah! Isimamisheni, Enyi Waislamu

01 Rajab 1442 H - 13 Februari 2021 M

Kenya

Tokea Kuvunjwa kwa Khilafah, Kubomolewa kwa Majumba ya Ibada Yamekuwa ni Maafa kwa Waislamu Wote.

30 Jumada al-Thani 1442 H - 12 Februari 2021 M

Kenya

Mfumko wa bei: Tatizo Sugu ndani ya Mfumo Muovu wa Kiuchumi wa Kibepari

19 Jumada al-Thani 1442 H - 1 Februari 2021 M

 Wilayah Sudan

Huku Wakiwa Wamefinikwa na Aibu na Fedheha, Watawala wa Sudan Wanakubaliana na Umbile la Kiyahudi juu ya Ushirikiano wa Kijasusi na Usalama ili Kuupiga Vita Uislamu

19 Jumada al-Akhir 1442 H- 1 Februari 2021 M

  Wilayah Pakistan

Sera ya Kujizuia na Hakikisho la Kutokuwa na Vita Juu ya Kashmir Iliyokaliwa Imeishajiisha Tu Dola ya Kibaniani Kuyaelekeza Majeshi Mpakani na China

14 Jumada al-Akhir 1442 H- 27 Januari 2021 M

   Wilayah Pakistan

Amerika Haikuikalia Afghanistan Pekee ili Kujiondoa kwa Kuitaka tu Ifanye Hivyo!

10 Jumada al-Akhir 1442 H- 23 Januari 2021 M

 Wilayah Sudan

Mapigano ya Kikabila Huko Darfur kwa Kukosekana Dola ya Uchungaji; Khilafah kwa njia ya Utume – Imepelekea na Ingali Inapelekea Umwagikaji wa Damu

6 Jumada al-Akhir 1442 H- 19 Januari 2021 M

 

- Makala -

Miaka Mia Moja Bila ya Khilafah: Hasara kwa Afrika na Ubinadamu

Said Bitomwa

07 Rajab 1442 H - 19 Februari 2021 M

Matokeo ya Utawala wa Urasilimali na Demokrasia kwa Waislamu na Walimwengu Wote

Mustafa Abu Ibrahim

07 Rajab 1442 H - 19 Februari 2021 M

Miaka 100 ya Ufisadi, Mporomoko, Vita, Uharibifu na Tabu

Ali Nassoro

Mwanacha wa Afisi Kuu ya Habari

07 Rajab 1442 H - 19 Februari 2021 M

Miaka 100 Tangu Kuvunjwa kwa Khilafah: Unafanya Nini Kuirudisha?

Ali Nassoro

Mwanachama wa Afisi Kuu ya Habari

05 Rajab 1442 H - 17 Februari 2021 M

Miaka 100 Bila Khilafah: Ummah Unaendelea Kuzama Katika Mizozo ya Kikabila

Ali Nassoro

Mwanachama wa Afisi Kuu ya Habari

04 Rajab 1442 H - 16 Februari 2021 M

Namna Khilafah Ilivyo Vunjwa kwa Kifupi

Ali Nassoro

Mwanachama wa Afisi Kuu ya Habari

03 Rajab 1442 H - 15 Februari 2021 M

Kutokana na Kukosekana kwa Khilafah Hasara ambayo Wanawake Wamekumbwa Nayo ni Kubwa na Mbaya

Muslimah Ash-Shami (Umm Suhaib)

02 Rajab 1442 H - 14 Februari 2021 M

Khilafah na Mfumo wa Ulimwengu

Afzal Qamar – Pakistan

5 Jumada al-Akhir 1442 H - 18 Januari 2020 M 

 

Andika maoni

Hakikisha umejaza (*) habari zinazohitajika palipoashiriwa. Kodi za HTML haziruhusiwi.

rudi juu

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu